Assalam Alaykum Warahmatullah tunategemea tarehe 18/02/2017 ndio siku ya Maulidi yetu ya kumswalia mtume muhammad (S.w.a) ambapo tunatarajia tutakua na wageni kutoka Dar-es-salam Madrasat Taalim iliopo Mwananyamala kisiwani mtaa wa sindano tumuombe Allah atufikishe Uhai na Uzima Inshallah Ratiba ya Shuhuli yetu itafuatia hapa wiki Ijayo
No comments:
Post a Comment