Wednesday, 17 February 2016

Matokeo ya shuhuli ya maulidi 2016 kwa Picha

Wanafunzi wakiwa na mwalimu wao (aliekamata pua mfano wa kushika tama) Bin malik khatib Zubeir
Wanafunzi Salum mrehi(mwanzo kushoto),Abuubakar Moh'd(wa pii), Omar Bakar Hamad(kati),Khatib Mwalim Yussuf(wanne) na watano ni Abdallah Omar Ally wakiwa wamesimama na mbele yao wapo na mwalimu wao na baadhi ya wanafunzi wake.
Bin Malik Akiwa na wanafunzi wake
Bin Malik na wanafunzi wake
Bin Malik,Saleh khamis bori akiwepo na Abdul-azizi na Fahad Farid 
Wanafunzi wa Majalis sania
Bin malik akiwa na watoto wake Hussein Khamis Bori na Ally Abdallah
Mwalimu na wanafunzi

Ali Abdallah issa Akiwa na mwalimu wake
Wanafunzi wakiwa wamejinyoosha baada ya machofu ya Maulid


Mwanafunzi Mussa Abdul-rahamn Mussa amevalia koti na huku akiwa amefunga mikono yake.

Allah amuongoze

Mussa Abdul-rahman Mussa akiinua mikono yake kuniombea Dua .

No comments:

Post a Comment